Waislamu wote mnatangaziwa kuwa salat Taraweeh itasaliwa katika chuo cha Monor Park, nyuma ya duka la Sadi na Monor Park Station.
Salat Taraweeh itaanza baada ya Isha 2130 kila siku, Waislamu Wote Mnakaribishwa.
Maelezo zaidi wasiliana na Maalim Abdallah
07828804152
Ally Muhdin
0770786069
E- Mail
RAMADHAN KARIM
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...