leo nimefurahi na kufarijika kwa kukutana na kupeana konozzzz na wadau wa a-taun ambao wamenambia kwamba huko kwao libeneke ni kwa kwenda mbele. asanteni wadau

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 07, 2009

    Michu,

    Unatumia sina neno "libeneke" lakini sielewi maana yake na chimbuko la neno hilo.


    Tafadhali nielimisheni.

    Nawasilisha

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 07, 2009

    Cute kids!!....sweet smiles.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 07, 2009

    Libeneke ni kama mpambano! Chimbuko lake ni tok akwenye lugha ya kingazija ambapo neno olibeneke linamaanisha mpambano.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 07, 2009

    Loh! kwakweli lugha ya kiswahili inaanza kupotea 'Libeneke!!!!. Hata mimi sikujua maana yake. Kumbe ni kinaniii!!!.Tafadhari msitupoteshe.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 07, 2009

    Asanteni sana wenzangu mlionielemisha kuhusu hili neno "libeneke" - kwamba ni mpambano...na kwamba linatokana na lugha ya kingazija? Na kwamba sasa lipo kwenye msamiati wa kiswahili? Lakini je mpambano wa kwenye vita? Mpambano wa watu wawili? Au mvutano kati ya makundi? Naomba anon hapo juu uendelee kunielimisha usichoke....Au hata Michu ukiweza jaribu kuingilia kati uelimishe watu kuhusu hili neno "libeneke" au liweke wazi mahala lijadiliwe kama "subject matter" pekee.

    Nawasilisha

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 07, 2009

    Jamani hawa watoto wamekaa wapoleeeeeeeeee, hadi raha.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...