Mjane wa baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere (Mama wa Taifa) akizungumza na waandishi nyumbani kwake Msasani Dar es Salaam leo, kuhusiana na tuzo aliyoipokea Mapema mwezi huu kutoka kwa Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa mataifa inayotambua Mchango wa baba wa Taifa, Mwalim Julius Nyerere katika ukombozi wa bara la Afrika,shoto ni Makongoro Nyerere.
Home
Unlabelled
mama maria nyerere alonga na waandishi wa habari
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Watoto wa Taifa nao ni kina Madaraka na Makongoro Nyerere?Kina Kinjekitile mbona hawamo kwenye Hisotria?Walimwaga damu zao kwa nchi yao..Kina Abushiri au tunadanganywa kuwa walikuwa Waarabu na wauza watumwa?Kina mwana wa mwana wako wapi?wengi hawawajui na harakati zao zilikuwa zipi?Damu zao zimesahaulika Hawa ndio mababana mamama wa Taifa
ReplyDeletewewe Anonymous wa Mon Sep 28, 11:07:00 PM
ReplyDeleteuwe na nidhamu,
mbona kuna watoto wa taifa waliojazana BOT na kwenye nyadhifa nyeti huwasemi? yani huyu bibi wa watu na wanae ambao walishirikiana na baba yao kuongoza ujenzi wa taifa hamuoni mchango wao hadi uwatukne hivyo?
hivi huyu mama kaiba nini hadi sasahivi kwa urais wa miaka 25 wa mumewe? hebu angalia kina mama wengine ambao waume zao walikuwa marais wa nchi hii waangalie walivyovuna utafikiri paka kaona maziwa!
angalia na wana wao walivyouchangamkia urais wa baba zao kujinufaisha na kujipatia mali za ufisadi!
kuna watu safi kwenye familia za marais waliotangulia zaidi ya hii ya mwalimu?
kama kuna mwenye hoja tofauti alete na kueleza rais mmoja mmoja na usafi wake unaomzidi mwalimu Nyerere