Bratha Michu,
kama ujuavyo jumamosi ni pambano la watani wa jadi, hebu posti hii tukumbushane na wadau simba na yanga ya enzi hizo mimi nimejaribu kukumbuka festi eleven ya simba enzi hizo:

Mackenzie Ramadhani
Mavumbi Omari
Twaha Hamidu
Deo Njohole
George Masatu
Iddi selemani
Zamoyoni Mogella
Malota Soma"ball juggler"
Hamis Gaga "gagarino"
John Makelele
Raphael Paul

mdau mwingine anisaidie kupanga vizuri

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 34 mpaka sasa

  1. kaka umesahau. kipindi ambacho masatu alikuwa taifa kubwa basi na hussein aman masha alikuwepo coz walitoka wakati mmoja pamba ya mwanza wa tupwisa lindada mazembe. na masha alikuwa hawekeki benchi. so you should have included him

    ReplyDelete
  2. namkumbuka kipa P. mwangata alidondosha mchozi uwanjani baada ya kushindwa kudaka mpira.

    liz

    ReplyDelete
  3. Kusema ukweli hilo Chama likuwa hatari ! Mtu kama Marehemu Gaga angeweza kuchezea timu yoyote duniani kama angekuwa na discipline ya mpira. Hivi wadau mchezaji kama Marehemu Method Mogela alitakiwa achezee timu kama Man au Liver Kutokana na kiwango chake.

    ReplyDelete
  4. Mie mshabiki wa simba Kumbukumbu yangu nakumbuka GAGARINO alikosa Penalt Uwanja wa AMAAN,Zanzibar ilikuwa USIKU. GAGARINO alilia washabiki wa YANGA wakawa wanamtafuta alijificha Kilimanjaro Hotel. Ilikuwa KOmbe la Afrika mashariki na kati. Simba alikuwa Bingwa. Dogo.

    ReplyDelete
  5. Duh Enzi hizo hilo chama nakumbuka mie BW mdogo la Kwanza nikisikia SIMBA Sports Club Mtangazaji akisema The Champs nilikuwa najuwa ndio Jina lao la Timu Simba Sports Club The Champs. kumbe Mabingwa. Mwalimu.

    ReplyDelete
  6. mbigiri-Yanga DamuOctober 28, 2009

    Wengi wa wachezaji uliowaweka hapo juu hawajawahi kucheza pamoja kwa wakati mmoja Simba.Mfano Malota Soma hajawahi kucheza na George Masatu.Ovyooo.Katafute kumbukumbu za soka la bongo halafu uje kurekebisha list

    ReplyDelete
  7. Mie nafikiri TANZANIA wachezaji 3 hawa nafikiri wangecheza Mpira nje vizuri Kipindi ambacho wapo Method mogella(Mwenyezi amrehemu) na Hussein Masha na Rifat Said(mwenyezi Amrehemu) na Salvatory edward kama nimekosea jina lake niwekeni sawa wa Yanga. hata Thomas mashala wa Pan african.

    ReplyDelete
  8. 1Mohd Mwameja (TZ one wa ukweli)
    2. Kassongo othman
    3. Deo Mkuki
    4.Idd seleiman
    5 Gorge Masatu
    6 Juma Amir Maftah
    7.Rashid Ramadhan (machine)
    8.Hussein Aman Marsha
    9 Edward Chumila (EDO BOY)
    10 Madaraka suleima (Viminyio)
    11 Duwa said

    ReplyDelete
  9. Kikosi ambacho sitoweza kukisahau tulimpiga Mecco bao 5-0 baada ya kuanza vibaya ligi mechi ya kwanza msimu 1990 baada ya kuponea kushuka daraja msimu uliopita kwa kuifunga yanga 2-1 mechi ya mwisho. Kikosi cha msimu huo kilikua hivi.
    Mackenzie Ramadhani/Patrick Mwangata,Mavumbi Omari,Twaha Hamidu,Deo Njohole OCD,Frank Kasanga Bwalya,Aston Pardon,Dan Mhoja/Method Mogella,Hamis Thobias Gaga "Gagarino",Malota Soma "BallJuggler",Zamoyoni Mogella "Golden Boy" anamalizia kushoto Edward Chumila "Sure Boy".
    Mechi ya kwanza tulifunga Yanga 1-0 Mavumbi alifunga kwa free kick. Mechi ya marudiano tukihitaji ushindi kutangaza ubingwa tulipigwa bao 3-1 baada ya penalti ya Gaga kuota mbawa.Weekend iliofuata tukaenda kuchukua ubingwa kwa African Sports Tanga. Msimu uliofuata mar Method, Deo Njohole waliondoka.LUNYASI FOR LIFE

    ReplyDelete
  10. Mbigiri Yanga Damu tuachie wenyewe Simba yetu. Malota kacheza na George Masatu kikosi kilichofika fainali ya CAF 1993 japo Malota alikua anarejea uwanjani baada ya kuugua kwa muda ila wamecheza pamoja Simba

    ReplyDelete
  11. Wachezaji waliokua na viwango vya juu na hakika wangecheza timu yoyote duniani ni Hamis Gaga, Athuman China, Hussein Aman Marsha, Mohamed Mwameja,Issa Athumani, Fumo Felician bila kumsahau Yasin Abuu Napili. Walikua wamekamilika kila upande urefu,ubavu na control za kumwaga!

    ReplyDelete
  12. Umesahau kuongezea, John Makelele aka. ZIGZAG PAJERO....ilikuwa balaa..Yanga wenyewe walikuwa wanazima fegi.

    Mdau
    Uholanzi.

    ReplyDelete
  13. Mdau uliyesema Gaga alikosa penati naona hiyo siyo kumbukumbu bali ni usahaulifu. Mechi hiyo aliyekosa penati alikuwa beki Mwakalebela (David?). Na huyo mdau aliyedai kuwa atiMasatu na Malota hawajawahi kucheza pamo wewe ndoi ukatafute kumbukumbu. Wakati simba inafika fainali za CAF 93 masatu alikuwa Simba na Malota alikuwemo sasa kama huko siyo kucheza pamoja sijui tuiteje.

    ReplyDelete
  14. 1.Idd Pazi 2.Deo Mkuki 3. Twaha Hamidi (noriega)4 Mustafa Hozza 5 George Magere Masatu 6.Hussein Aman Masha 7John Makelele 8Hamis Thobis Gaga 9.Zamoyoni Mogela 10.Malota Soma 11.Itutu kigi
    Mdau
    Kisiju Pwani

    ReplyDelete
    Replies
    1. Dah, Combination ya Mustafa hoza, george masatu na Hussein marsha ilikuwa sio mchezo, mbele kina Hamisi gaga, Zamoyoni mogella.

      Delete
  15. Namjibu Mbigiri-Yanga damu... Georege Masatu alishwai kucheza na Malota Soma. Kama unakumbuka Fainali ya kombe la CUF SIMBA VS STELA ABJAN Mwaka 1992 Masatu alisimama mkoba tisa Malota

    ReplyDelete
  16. Mdau wa saa 6:38 , nakubalina na wewe ya kuwa Marehemu Method alikuwa na uwezo wa kucheza klabu yoyote kubwa kwani alikuwa na nguvu , spidi na zaidi alikuwa ni mtu wa kujituma. Masha i seriously doubt, the guy had talent but he was too slow ! Michuzi nadhani utakubali ya kuwa Marehemu Method angeweza kuchezea Liverpool . Ninependa sana kusikia maoni yako kuhusu hili...

    ReplyDelete
  17. Wana SIMBA wenzangu je mnaikumbuka listi hii? 1 Mohammed Mwameja, 2 Kasongo Athumani ,3 Twaha Hamidu, 4Mustafa Hoza, 5 George Masatu, 6 Hussein Masha, 7 George Lucas, 8 Athumani China, 9 Madaraka Suleiman A.K.A. Kiminyio, 10 Ntheze John 11 Duwa Saidi. Hivi kocha mcheza Azizi nyoni yupo wapi?

    ReplyDelete
    Replies
    1. Simba ilikuwa na kocha mchezaji mmoja tu, alikuwa Hassan Hafif

      Delete
  18. Wanasimba wenzangu je mnakumbuka ma2kio haya? Hamisi Gaga Lino alipochana nyavu Simba vs Majimaji bao la 2ta yanga wakadai eti nyavu zilikuwa zimelowa. Mnakumbuka 2lipowafunga Atlatico Aviacao ya Angola Muhammed Jongo akawa anayangaza Simba wana2piwa mawe? Mnakumbuka 2lipoifunga El hillal ya Sudani 2lipigwa mpaka Ntwa Kiwhelu alikula nyuzi 3, Samola Saidi mdogo wake Duwa saidi alikula nyuzi 5 na kibadeni na mwenyekiti wa FAT walivunjika viuno. Mpaka Rais Mwinyi akai2mia barua viongozi wa mpira wa Sudan

    ReplyDelete
  19. kipindi cha GM(George Masatu)kipa alikua 1 Mohamed Mwameja Tanzania one,2 Omary Mavumbi,3 Twaha Hamidu(Noriega)4 Hamza Maneno au Mustafa Hoza,5 George Masatu,6 Hussei Masha,7 Thoma Kipese(Uncle Tom)8 Marehemu Ramadhan Lenny(Abbega)9 Malota Soma,au alikua Damian Kimti,10 Gebbo Peter, 11 alikua Dua Said.Kama nimekosea, wapenzi wa Simba lunyasi nikosoeni.Mdau Seven sisters London

    ReplyDelete
  20. Du wadau tunakuwa tunakumbushana mbali,John Makelele(zig zaga)nimepiga nae kabumbu kule T.P.C pamoja na Abdalah Bori ambae amekipiga Pamba ya Mwanza.
    Bila kumsahau Salehe Sonda

    ReplyDelete
  21. Na hii je?
    -Sahau Kambi
    -Minziro
    -Ken Mkapa
    -Godwin Aswile
    -Salumu Kabunda
    -Isa Athumani
    -SAnifu Lazaro
    -Athumani Abdala {China}
    -Makumbi Juma
    -Justine Mtekele
    -Thomas Kipese.
    Mdau fidel

    ReplyDelete
  22. LUNYASI FOR LIFE
    yaani hapa.....
    Mackenzie Ramadhani/Patrick Mwangata,Mavumbi Omari,Twaha Hamidu,Deo Njohole OCD,Frank Kasanga Bwalya,Aston Pardon,Dan Mhoja/Method Mogella,Hamis Thobias Gaga "Gagarino",Malota Soma "BallJuggler",Zamoyoni Mogella "Golden Boy" anamalizia kushoto Edward Chumila "Sure Boy".

    ndo umenigusa.yaani hii ndo list niliyointend kuikukmbuka, nashukuru umeikukbuka tena nakumbuka tukapigwa 3-1 na yanga nilikuwa bwana mdogo tu enzi hizo lakini niliumia kweli.Thanks

    ReplyDelete
  23. Aaaah ww sasa na huku zenji small simba kulikuwa na
    Ally bushiri/Ridhaa Khamis
    Issa lambo
    Rashid Tall
    Karume Mussa
    Innocent haule
    Omar King
    Omar marungu
    Juma bakar 'kidishi'

    wengine nmesahau nlikuwa bwamdogo kipindi hicho

    Malindi:
    Yassin Saleh
    Mbegu Mohammed
    Seif Bausi
    Ally Nassor kibichwa'
    Ally Shariff 'Adolph'
    Hamad Hilika
    Athanas Micheal
    Shekha khamis

    wengine ntarudi kukumbusheni baadae hao fasta fasta

    ReplyDelete
  24. mnayazitaka kumbe

    sigara nayo

    1.nyalusi

    2.abubakari kombo

    3.azizi nyoni

    4.peter lucas

    5.iddi cheche

    6.abunu issa

    7.msamba

    8.ladislaus shaha

    9.mwakatika

    10.michael bulton

    11.shabani anania



    coastal union

    1.rifat said

    2.said kollongo

    3.deoglatius muhani

    4.yasin napili

    5.ruben mgaza

    6.ally maumba

    7.kingsley mwalilo

    8.kassa mussa

    9 juma mgunda

    10 husein mwakuluzo

    11.razak yusuf

    mdau mussa salum

    ReplyDelete
  25. HAHAHAHAHA MIE MBAVU SINA HAYA WA IRINGA JE NA LIPULI? ISSA MICHUZI TAJA KIKOSI CHETU CHA PAN AFRICAN. SMALL SIMBA HIYO NDIO ILIKUWA INATISHA MIE SIMBA NAYOIJUWA

    Mohd Mwameja (TZ one wa ukweli)
    2. Kassongo othman
    3. Deo Mkuki
    4.Idd seleiman
    5 Gorge Masatu
    6 Juma Amir Maftah
    7.Rashid Ramadhan (machine)
    8.Hussein Aman Marsha
    9 Edward Chumila (EDO BOY)
    10 Madaraka suleima (Viminyio)
    11 Duwa said -- MUUWAJI WA YANGA

    Bench Kuna Kimti muuwaji wa kuwamaliza watani.

    Mnakumbuka NONDA NA KIMANDA walivyokuja SIMBA ILIMLA YANGA 4-1.

    WEKA KIKOSI CHA PAN AFRICAN MICHUZI. MSWAZI KWA MANGARA.

    ReplyDelete
  26. Mie nawakumbuka hawa.

    MACHUPA,MASAMAKI,MANYANYA,KACHUMBARI, ALI MAYAI,MAVUMBI, HAWA walikuwa nawasikia Sana KUTOKA RADIO MBAO mpaka MACHUPA NIMEKUJA KUMSIKIA RADIO PLASTIC. PANYA BUKU.

    ReplyDelete
  27. Kuna wadau wanasema Athuman China angeweza kucheza popote. Mnasahau alipata nafasi ya kucheza Reading (hii hii iliyokuwa ligi kuu miaka michache iliyopita huko England) akachemsha mwenyewe. Kuna mdau amemchezesha China Simba. Kumbukumbu zangu zimefuta hicho kitu.
    Kikosi burudani kilikuwa cha Tukuyu Stars cha kina Aston Pardon.

    ReplyDelete
  28. pan Africa hiyo

    1.sadik kalokola

    2.said kollongo

    3.nuldin kasabalala

    4.idd cheche

    5.abibu kondo

    6.idrissa ngulungu

    7.Ally yusuph tigana

    8.ladislaus shaha

    9.julias kalambo

    10.Abdallah msamba

    11.Thomas Mashalla

    unataka ipi

    mdau mussa salum

    ReplyDelete
  29. wadau nimepeda sana comment zenu nzuri sana za kukumbushana mambo yaliyopita pale kwetu husussani mpira wa miguu na wachezaji wote mliowataja walikuwa ni faraja kwetu,lakini mmetaja wote mume msahau mmoja RAMADHANI LENNY hunu vipi mbona hamumuongelei

    ReplyDelete
  30. Hswaaaaaaaaaaaaaa hii ndio nimeitaka mie ya Pan african Bench kakosekana Akida makuda. Mussa Salum ahsante sana Nurdin Kasabalala Rafiki Jamaa huyu yupo magomeni. Kalokola si mburundi? alikuja na kina Kamanda na nonda au? kama si mburundi ni mtu wa Congo.

    ReplyDelete
  31. Kosi hili huwa silisahau:

    1.Idd Pazi "Father"
    2.Mussa Kiwelu
    3.Daud Salum "Bruce lee"
    4.Deo Njohole "OCD'
    5.Athuman Maulid "Big man"
    6.Ramadhani Lenny "Theophill Abega"
    7.Sunde Juma "Pikipiki"
    8.Ezekiel Greyson "Jujuman"
    9.Malota soma "Ball Juggler"
    10.Zamoyoni Mogella "Golden Boy"
    11. Ibrahim Marekano

    ReplyDelete
  32. Kwangu mimi vifaa ambavyo vingeweza kutuwakilisha vizuri nchi za nje enzi hizo. Kuna Method Mogella"fundi", Salvatory Edward"mtaalam", Yusuf Macho"musso", Deo Njohole"ocd".

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...