Katibu Mkuu wa Chama Cha Wafanyakazi wa Bandari Tanzania (DOWUTA) Bw. Abdalla Kibunda (kushoto) akipeana mkono wa pongezi na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Kuhudumia Makontena Bandarini (TICTS), Bw. Neville Bissett mara tu baada ya kutiliana saini mkataba wa ‘Hali Bora kwa Wafanyakazi’ kwenye bandari ya Dar. Mkataba huo una lengo la kuboresha maslahi ya wafanyakazi jana kwenye bandari ya Dar es salaam.
Picha na Executive Solutions

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Kwa kweli sisi wafanyakazi tunashukuru maana kwa sasa ni maisha bora kwa kila mfanyakazi

    ReplyDelete
  2. Neville Bissett,well done.

    ReplyDelete
  3. ceo tunashukuru kwa zawadi za kuku, well done

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...