kocha wa Yanga Kostadic Papic 'Clinton'
kocha wa Simba Patrick Phiri
kocha wa Simba Patrick Phiri
mshambuliaji wa simba mussa hassan mgosi akiwatoka mabeki wa yanga
kocha wa yanga akitoa somo wakati wa mapumziko
YANGA NA SIMBA WAMETOKA DROO YA 1-1 KATIKA DAKIKA 90 YA MCHEZO WAO WA NUSU FAINALI KOMBE LA TUSKER NESHNO JIJINI DAR, NA SASA ZIMEONGEZWA DAKIKA 30 KUPATA MSHINDI KWANI ZEGE HALITAKIWI KULALA LEO. IKISHINDIKANA DAKIKA HIZO 30 GEMU LITAAMULIWA KWA TUTAZZZZ
sasa ankal si ujaribu kutuletea as near live as possible basi. sisi tulioko huku nje hatulipati redioni ankal.
ReplyDeleteInaisha 21 kwa Yanga hiyo nafikiria. Mangala.
ReplyDeletemichuzi asante sana kwa up date zako nasikia Yanga african wanaongoza je kweli kaka?
ReplyDeleteMisupu leo lazima mnyama atafunwe tu. Go Young Africans!!
ReplyDelete-Kaka Yenu
Niko Uwanjani tumewashika kila idara Yanga lazima ishinde Simba muneno mwingi tu they can't play. Not entertain' footie!
ReplyDeleteYanga wazuri na kuna potential ya kupata goal mingi
final utaniambia