WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi wakibadilishana mawazo baada ya kuharishwa kwa kikoa cha asubuhi, kushoto Nassor Ahmed Mazrui Nafasi za kuteulia (CUF) katika Juma Duni Haji kuteiliwa (CUF) na Naibu Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo Mahmuod Thabit Kombo,(Jimbo la Mpendae CCM)
MJUMBE wa Baraza la Wawakilishi wa kuteuliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Amani Abeid Karume,nafasi ya kambi ya upizani Mh. Juma Duni Haji, (CUF) akila kiapo katika ukumbi wa baraza hilo leo.
MJUMBE wa Baraza la Wawakilishi wa kuteuliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Amani Abeid Karume nafasi ya kambi ya upizani Mh. Nassor Ahmed Mazrui, (CUF) akila kiopo katika ukumbi wa baraza hilo leo.
MJUMBE wa Baraza la Wawakilishi wa kuteuliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Amani Abeid Karume nafasi ya kambi ya upizani Mh. Nassor Ahmed Mazrui, (CUF) akila kiopo katika ukumbi wa baraza hilo leo.
tutunze kiswahili wajomba! kuteilia, kutielia ndio nini?
ReplyDeleteWamependeza mashaallah,
ReplyDeleteMUNGU LIBARIKI BARAZA LETU,
MUNGU IBARIKI ZANZIBAR NA WATU WAKE.
MUNGU IBARIKI TANZANIA KWA KIPINDI HIKI KIZITO CHA UCHAGUZI.