Na.Paul Marenga NHIF
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umekitaka Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa (TALGWU) kutokwepa kueleza ukweli kuhusiana na madai ya makato yaliyokatwa kimakosa kwa wanachama wao wakati wa uanzishaji wa Mfuko huo mwaka 2001.
Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Emmanuel Humba wakati akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya Mfuko huo Bendera Tatu, Dar es salaam leo.
BOFYA HAPA
kwa muendelezo wa habari hii


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...