Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya afya akitoa ufafanuzi kuhusu madai yaliyowasilishwa kwenye vyombo vya habari na viongozi wa Talgwu kuwa wanadai serikali na Mfuko wakati alipokutana na waandishi wa vyombo mbalimbali kwenye ukumbi wa mikutano wa mfuko huo kurasini bendera tatu kushoto kwake ni wakurugenzi wa mfuko.

Na.Paul Marenga NHIF

MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umekitaka Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa (TALGWU) kutokwepa kueleza ukweli kuhusiana na madai ya makato yaliyokatwa kimakosa kwa wanachama wao wakati wa uanzishaji wa Mfuko huo mwaka 2001.

Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Emmanuel Humba wakati akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya Mfuko huo Bendera Tatu, Dar es salaam leo.

BOFYA HAPA

kwa muendelezo wa habari hii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...