Wanamuziki mahiri kutoka nchini Uganda pichani kushoto Radio na kulia Weasal wakizungumza mbele ya waandishi wa habari leo jioni kwenye viunga vya Club Maisha kuhusiana na shoo yao itakayofanyika usiku huu ndani ya Club Maisha jijini Dar,Katikati ni Afisa Uhusiana wa Club Maisha Penniel Mwingila.Shoo hiyo imepangwa kuwa kiingilini ni 20,000/= kwa watu maalumu a.k.a VIP huku watu wa kaiwaida 10,000/= kwa kila kichwa.
Home
Unlabelled
radio na weasal kutumbuiza usiku huu club maisha.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...