Mgombea Urais kwa chama cha CCM,Dk Jakaya Kikwete akifafanua jambo mapema leo asubuhi alipofanya mahojiano LIVE kupitia kipindi cha Power Breakfast kutoka redio ya Clouds FM 88.4 jijini Dar.Pichani ni watangazaji wa kipindi hicho Gerald Hando pamoja na Barbra Hassan.Dk Jakaya Kikwete leo usiku mnamo majira ya saa mbili usiku mpaka saa nne atazungumza na vyombo vya habari mbalimbali katika ukumbi wa Anatoglo,jijini Dar.
Home
Unlabelled
jk alipozungmza live na clouds fm leo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Hehehee, good move Mr President, sorry I mean the current and future President of Tanzania umegundua mapema kuwa
ReplyDelete"Two opposition parties stand out. Chadema is strong among richer smallholders, most of whom belong to the Chagga people around Mount Kilimanjaro. The Civic United Front is backed by quite a few Muslims on the coast and in the autonomous island of Zanzibar.
But they are too weak to topple the all-powerful CCM. Mr Kikwete and Tanzania will gently potter along." Source The Economist.
Usiende ITV na Radio One, waachie wenyewe na chama chao lakini wameula wa chuya mwaka huu!