Home
Unlabelled
mdau michael ala nondozzz DUCE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
icho kizibao kama cha Ankal
ReplyDeleteSafi sana mdau. Hii inaonyesha ni wapi umetoka na kupita majaribu yote ya hapa duniani. Mzazi wako hana budi kujisikia kwani kwa Tz ni asilimia chini ya 4% wanaoweza kupiga hatua kama yako mdau. Big up kwa sana na hongera kwa mzazi wako pia ambaye bila shaka anamchango mkubwa kwa mafanikio yako.
ReplyDeletehongera sana
ReplyDeleteNamzimia sana msure wako hongera kwa kumaliza chuo. Always be proud of yourself and your culture
ReplyDeleteMsimwone huyu dingi na hicho kizibao huku Ar tunawajua sana ukishamwona na hiyo kizibao na kiatu na soksi basi ujue ndani ameficha Tanzanite so kwa wale mabinti wa kuchuna wanajua vizuri kitu naongea si choka mbaya wadau ni kalture tu hio
ReplyDeleteHongerera sana njeree, sasa ukalitumikie taifa kwa uadilifu.
ReplyDelete