Looking for specialists to design and/or construct your unique reed (manyasi) thatched structures? Then look no further than Azgad Ventures Limited. We make the best thatched structures. For key reasons such as their beautiful appearance and long life span, thatched structures are the ideal choice for fabulous holiday resorts, camp sites, gazebos, cottages, and much more. Azgad Ventures also deal with the brick work, wood work, and all decoration and finishing for the thatched structures. Come and see us for those unique structures!

For more information please
visit Azgad Ventures at
www.azgadventures.com


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. wanandugu wenzangu. kuna Mwingereza mmoja umri miaka 54 na ana PhD katika shughuli hizi za kutengeneza mapaa ya nyasi na amekuwa akitumiwa sana kutoa utaalamu wake.

    Swali la kizushi, ni vijana wangapi wa kitanzania wanataaluma kama hii au wanampango wa kupata taaluma kama hito?

    ReplyDelete
  2. Bahati mbaya iliyoje wabongo hawapendi kujishughulisha katika vitu vya ujasiriamali kama hivi.

    Hiyo biashara ya vinyasi inalipa sana, mwishoni mwa mwaka jana nilitengeneza kibanda changu cha kupumzikia nje ya nyumba na kuweka makuti ya namna hiyo, iligharimu takriban 7m, 3m ikiwa ni ufundi peke yake.

    Na si kwamba nililaliwa bali unaweza kuappreciate kazi yake manake iliwachukua siku nne kumaliza kuezeka, ni kazi ya kifundi sana.

    Sasa nikajiuliza wabongo wangapi wanajishughulisha na vitu kama hivi manake ajira sio lazima kuvaa tai peke yake.,

    Hata hivyo nampongeza mdau aliefungua kampuni kabisa ya kufanya mambo ya kuezeka vinyasi, sio tu anaendeleza utamaduni wetu bali pia anajipatia kipato chake halali.

    Nilikwenda sauzi mwaka jana, uwanja mkuu wa ndege mpumalanga umeezekwa kinyasi ili kuvutia watalii.

    Hongera wadau wa vinyasi...

    ReplyDelete
  3. mtoa maoni wa pili nahisi utakuwa ni ndugu yetu wa kulekule BK duh

    ReplyDelete
  4. Sie wenzenu tunampango wa kutokomeza nyumba zoote za manyasi,hata wagombea walisema

    ReplyDelete
  5. hizi nyasi zina hatarisha maisha.
    hatari ya moto.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...