Bendi ya Diamond Music chini ya rapa maarufu Mulumba Kashama wakifanya vitu vyao kwenye bonanza la sanaa linalokutanisha makundi kibao ya wasanii mbalimbali viwanja vya leaders club jijini Dar kila Jumamosi, ikiwa chini ya uanzilishi wa mwanasoka mashuhuri wa zamani wa Simba SC na mfanyabiashara Isihaka Kibene
Meza kuu alikuwepo mgeni rasmi Mh. John Komba, Mbunge wa Mbinga Magharibi (kati), Mzee Kassim Mapili) wa pili kulia na waandaaji wa bonanza hili la kukata na shoka la kila Jumamosi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...