Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Taasisi ya Utafiti Kuhusu Kuondoa Umaskini (REPOA), Profesa Esther Mwakikambo (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa REPO, Profesa Samweli Wangwe baada ya kufungua mkutano wa Taasisi hiyo kwenye hoteli ya Whitesands jijini Dar es salaam
Home
Unlabelled
mh. pinda afungua mkutano wa repoa leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...