Katibu Tawala wa Wilaya ya Tarime Ernest Kabohola akipokea baadhi ya nyaraka zilizofanyiwa kazi na Tume pamoja na vipeperushi kwa ajili ya wilaya yake kutoka kwa Ofisa Sheria wa Tume Judith Kakongwe.
Ofisa Sheria wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Judith Kakongwe akiwasilisha mada juu ya Sheria ya watu wenye ulemavu katika warsha ya elimu ya sheria kwa umma iliyofanyika wilayani Tarime mkoa wa Mara, katikati ni Katibu Tawala wa wilaya ya Tarime Ernest Kabohola na kulia ni Ofisa Sheria wa Tume Shadrack Makongoro.
Ofisa sheria wa Tume Shadrack Makongoro akiwasilisha mada juu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa washiriki kutoka idara za Serikali katika warsha ya elimu ya sheria kwa umma iliyofanyika mkoani Mara.
Baadhi ya washiriki wa warsha ya elimu ya sheria kwa umma kutoka taasisi mbalimbali wilayani Tarime wakifuatilia kwa makini mada zilizokuwa zikiwasilishwa na maafisa sheria wa Tume.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Dada Judith upo juu !
    Endeleza kazi nzuri tuliyoianza pale UDSM.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...