Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Dkt Christine Ishengoma akiwa ndani ya ndege ya shirika la Indigo Aviation siku ndege hiyo ilipozindua safari zake kwa abiria kati ya Dar es salaam na Songea mwishoni mwa wiki iliyopita katika uwanja wa ndege wa mjini Songea.Ndege hiyo inafanya safari zake kati ya Dar-Songea kila Jumatatu na Ijumaa.Picha na Muhidin Amri wa Globu ya Jamii, Ruvuma
Home
Unlabelled
mkuu wa mkoa wa ruvuma azindua safari za ndege songea
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Waw jiyo safi sana maana tulishachoka kusafiri siku nzima
ReplyDeletesasa nauli bei gani?
wapi tutanunua ticket?
Mdau wa Iceland
hawa indigo campuni ya wa hindi wamenunua ndege mpiya kupeleka india , sasa naona zile za zamani wanatuletea sisi tanzania. ila safi naona sasa tanzania mwake usafiri wa mabasi soon utaisha.
ReplyDeletemdau china