Wafanyabiashara wa supu ya magongoro wakiandaa kwa ajili ya wateja wao katika stendi kuu wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma,ambayo huuzwa kati ya tshs 1000 na 1500 kutegemea na ukubwa wake.
Mchuuzi wa Samaki wakavu aina ya perege  akipanga kitowep hicho katika mazingira ambayo siyo salama kiafya kwa walaji kama alivyokutwa na mpiga picha wetu Muhidin Amri mjini Namtumbo hivi karibuni

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 30, 2011

    samahani kwa kuangalia kwangu ,nadhani hao si perege ila ni kambale
    asante

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 30, 2011

    picha ya kwanza ndugu zetu wanapenda kuita kapili au kapiri (siyo supu)na inakuwa sevd na pilipili kwa wingi na picha ya pili ni ze kambales. Mahali hapo kwa jamaa karibu vitoweo vingi ni imported kutoka nje ya wilaya.
    by mtani

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 30, 2011

    Hao sio perege kama mwandishi na mpiga picha walivyosema hao ni KAMBALE niaina ya samaki wanaopatikana kwenye maji baridi na yasio na chumvi.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 30, 2011

    Hao sio KAMBALE bali ni KAMBARE.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 30, 2011

    Michuzi
    Hawa waswahili watoka wapi
    Tangu lini samaki hawa wakavu na waliopindwa waitwa kambale?
    Where is the SPS,
    Swahili Preservation Society

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 30, 2011

    Du mwandishi hapa kachemka sana. Hawa si perege ni kambale. Tena hawajafika kiwango cha kuwaita kambale, kwa ukubwa wao tunaweza kuwaita SHETA. Lakini hakuna noma, umenikumbusha Ifakara

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...