Wadau Kaposo B. Mwambuli na Matilda Kiverege wakipozi baada ya kumeremeta jana katika kanisa la Kilutheri la Kinondoni jijini Dar, kabla ya kuelekea kwenye mnuso wa nguvu Hellenic Club. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Home
Unlabelled
Wadau Kaposo na Matilda wameremeta
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Hongera sana Matty Nikutakie maisha mema yenye Raha Furaha na Upendo
ReplyDeleteHongereni sana..Mimi kama mdau wa ndoa huwa napenda kutoa ushauri mdogo kwa wana ndoa..Ndoa kuna wakati zinakuwa na misukosuko(siombei itokee lakini sisi ni binadamu)..kuna wakati mimi na 'mamsapu' wangu tunapiga wiki nzima bila kuongea kwa room,kununiana kwa kwenda mbele..!Mvumiliane,mjitahidi sana msitoe nje siri za ndani ya ndoa yenu..Nawatakieni ndoa yenye furaha.
ReplyDeleteNi mimi
David V