Licha ya kuwa vyombo vya habari vinakemea udhalilishaji wa watoto lakini mama huyu alipatikana akiwa amembebesha ngunia mtoto huyu huku wakitembea masafa marefu,usoni unaweza kumuona mtoto huyu alikuwa akiumia kwa ukubwa wa mzigo huu lakini hakuwa na jinsi ya kuushusha. jee unafikiria Ankal hii ni haki ???kwani nini asibebe yeye mkubwa ??
mdau mpenda haki ya watoto.
UNAWEZA KUPIMA UZITO KWA MACHO? NA KWA NINI USIMUULIZE MWENYEWE?
ReplyDeleteHuyo lazima atakuwa mama wa kambo. Huwezi kumbebesha mtoto ulomzaa mwenyewe kilo 30. Hizo ni lazima ni kilo zisizopungua 30. Haya watetezi wa haki za binadamu mpo. Inabidi itungwe sheria ya kunusuru hawa malaika. Kuna mi mama inawageuza watoto watumwa wao.
ReplyDeleteLook at her. She soo innocent. poor kid.
Hiyo sio haki hata kidogo,lakini wewe ulifanya nini kumsaidia huyo mtoto?Zaidi ya kumpiga picha.U should have done something to help her.
ReplyDeleteNADHANI NINGEKUWA MIE NDO MPIGA PICHA HII BASI NINGETUNDUA MKANDA MMOJA YA HAPO KUSHOTO MWA PICHA HII NA KUMCHARAZA HUYO DADA VIBAYA SANA.
ReplyDeleteMzigo mzito mpe mnyamwezi.
ReplyDeleteHata hivyo hatujui ni kilo ngapi amabeba. Unaweza ukute hata kilo tatu haifiki. Tusilaumu kwanza.
Huo sio mzigo mzito jamani, kwa kumtazama mtoto mwenyewe usoni tu waweza tambua yeye yupo poa!
ReplyDelete