Kushoto ni Nape Moses Nnauye,Katibu wa NEC ya CCM Itikadi na Uenezi(Ideology and Publicity Secretary) akiwa pamoja na Sixtus Raphael Mapunda,Katibu msaidizi mkuu Itikadi na Uenezi(Principal Assistant Secretary) ambao wamekuja mahususi kwa shughuli za Chama hapa Washington,DC Nchini Marekani
Dj Luke Joe(kulia) akipata Ukodak Moment na Katibu wa NEC ya CCM Itikadi na Uenezi,Nape Moses Nnauye
Da Nape naye kapata katrip ka Mamtoni sio. Hongera. Sasa kazana ili ugombee Urais hapo 2015!
ReplyDelete