Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadiki akikabidhi bendera kwa wanariadha wanaoshiriki katika mbio za bendera ya Taifa ambazo ni sehemu ya Kampeni ya Kili Jivunie Utanzania inayoenda sambamba na sherehe za miaka 50 ya Uhuru, wakati akiwaaga Jijini Dar es Salaam jana asubuhi.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadiki akiwaaga wanariadha wanaoshiriki katika mbio za bendera ya Taifa ambazo ni sehemu ya Kampeni ya Kili Jivunie Utanzania inayoenda sambamba na sherehe za miaka 50 ya Uhuru. Hafla ya kuwaaga ilifanyika Dar es Salaam jana asubuhi.
Baadhi ya wanariadha wanaoshiriki katika Mbio za Bendera ya Taifa za Kili wakiwasili Wilayani Bunda juzi wakitokea Mwanza. Mbio hizi ni sehemu ya Kampeni ya Kili Jivunie Utanzania ambayo inaenda sambamba na Sherehe za miaka 50 ya Uhuru.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...