Hatimaye mfalme wa miondoko ya mduara,Mzee Yussuf amewasili jijini New York kwa ajili ya ufunguzi wa ziara yake nchini marekani. Pichani ni Mzee Yussuf katikati akiwa na wenyeji wake hapo nchini Marekani Mao Luangisa kushoto na Tahir Gharib kulia. Wakazi wa New York na vitongoji vyake kaeni mkao wa Kulambaa Jumamosi Jan 21.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Ninavyofahamu mimi Taarab inanoga ikijumuisha waimbaji pamoja na muziki wa ala(vyombo).. sasa huyu yuko peke yake inakuaje? au Taarab nayo yawekewa CD halafu afuatishe kwa nyuma.. haya!

    ReplyDelete
  2. mdau 03:44usijali hayo ndio maendeleo lakini hujakosea usemayo ni sawa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...