Salim Asas Abri akielezea kwa ufupi ni kwa namna gani Ng'ombe hao wa kisasa anavyowafuga
  Salim Asas Abri akiwa katika moja ya mazizi ya Ng'ombe wake Kijiji cha Nduli mkoani Iringa.
Pichani ni ng’ombe dume aina ya Simmental, ambao asili yake ni Amerika ya Kaskazini ambako walikuwa wakizalishwa tangu mwanzoni mwa karne ya 20.ASAS  anasema uzito wa ng'ombe huyo ambaye bado ni ndama hufikia uzito takriban wa tani moja. (Kg.1,000).
Ng’ombe wa kisasa wa maziwa anayepatikana katika shamba la ASAS mjini Iringa.
Moja ya Ng'ombe wa kisasa mwenye uja uzito akiwa amehifadhiwa sehmu yake maalum ya kuzalia
Baadhi ya farasi  wanoapatikana ndani ya shamba la ASAS la Igingilani mkoani Iringa.
Maziwa ya Ngamia yanaaminika kuwa ni maziwa mazuri sana kwa tiba mbalimbali, nao wanapatikana ndani ya shamba hilo la ASAS.Zaidi Bofya Hapa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Well done ASAS!!

    ReplyDelete
  2. hatuoni picha.kaka michuzi labda kuna tatizo, za mwanzo zinaonekana. Nikuanzia katikati, hazionekani.

    ReplyDelete
  3. excellent asas

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...