Waziri wa Uchukuzi Omari Nundu akifungua kongamano la Taifa la usafiri wa anga leo jijini Dar es Salaam. Jumla ya wataalamu 150 kutoka ndani na nje ya nchi wanahudhuria kongamano hilo la siku mbili.
Naibu waziri wa Uchukuzi Athuman Mfutakamba akiongea jambo na Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta binafsi Esther Mkwizu wakati wa kongamano la Taifa la usafiri wa anga. Jumla ya wataalamu 150 kutoka ndani na nje ya nchi wanahudhuria kongamano hilo la siku mbili linalofanyika katika hoteli ya Serena iliyopo jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wajumbe waliohudhuria kongamano la Taifa la usafiri wa anga wakimsikiliza waziri wa Uchukuizi Omari Nundu (hayupo pichani) wakati akifungua kongamano hilo. Jumla ya wataalamu 150 kutoka ndani na nje ya nchi wanahudhuria kongamano hilo la siku mbili linalofanyika katika hoteli ya Serena iliyopo jijini Dar es Salaam.Picha na Anna Nkinda - Maelezo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...