Mbunge wa Ubungo kwa tiketi ya CHADEMA, Mh John Mnyika(Kushoto) akiwa na aliyekuwa mgombea wa ubunge kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi Mkuu 2010, Bi Hawa Nghumbi, wakati wakisubiri hukumu, katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kuhusu kesi  ya kupiga matokeo yaliyompa ushindi Mnyika iliyofunguliwa na Nghumbi kwenye mahakama hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 26, 2012

    Wewe ni mtoto wangu tu,nakupenda sana kwa moyo mmoja.

    ReplyDelete
  2. MkiboshoMay 26, 2012

    Mlalamikaji MPARE, Mlalamikiwa MPARE, jaji MPARE.KUDADEKI!!!

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 26, 2012

    HAWA kama HAWA na JOHN kama JOHN hawana Ugomvi wowote.Tatizo liko kwa CCM na CHADEMA.Binafsi nilipenda wawili walivyokuwa 'wanataniana' Mahakamani.Vyama vya siasa ndivyo vinachangia kwa kiasi kikubwa kutuvurugia U-Tanzaniana umoja wetu.Mungu Ibariki Tanzania

    David V

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 26, 2012

    Kupingana si kupigana.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 26, 2012

    Hizi ndizo siasa tunazoziitaji!ambazo zinatufanya tuendelee kuwa ndg hata baada ya kutokukubaliana na kupingana!

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 26, 2012

    Mdau Mkibosho Anonymous wa Sat May 26, 08:43:00 AM 2012

    ''''Mlalamikaji MPARE, Mlalamikiwa MPARE, jaji MPARE.KUDADEKI!!!'''

    HALAFU WANGEITWA WAKALIMANI KUTTA FSIRIA SISI WENGINE

    NI BORA KESI INGEENDESHWA KWA LUGHA YA KABILA LA KIPARE!!!

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 26, 2012

    Sema ccm ndiyo wanatuvugia utanzania wetu.

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 26, 2012

    Huyu mama inaonyesha amejirekebisha jazba zake tofauti na awali, amekuwa mstaarabu kama anavyokuwa pamoja na mpinzani wake hapo Mahakamani sasa baada ya kushindwa kesi ni bora angalau wampe nafasi ya Serikali huko!

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 26, 2012

    Wapare wako juu mwenye wivu ameze kiwembe. yule mama wa kule UN Asha Mtengeti Migiro naye ni Mpare. Yaani tuko kila mahali, kwenye ufisadi tumo, kwenye peoples power tumo, kwenye usomi tumo, jeshini tupo, hata MHARIRI wa AN-NUUR gazeti la uchochezi naye ni MPARE!!!

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 26, 2012

    Hawa Nghumbi: "Kwa kweli mdogo mimi sina kinyongo kabisa na kitakacho tokea leo. Nililazimishwa kufungua kesi japo haina nguvu na aliyekuwa katibu mkuu wa CCM, mara baada ya matokeo alitoa amri kuwa wote tulioshindwa tufungue kesi.

    Ila ninajua kuwa jaji hawezi kukupiga chini maana mimi ninajua kuwa hawatanipa nafasi tena ya kugombea jimbo kama nilivyopata mwaka 2010. Ila ukifanikiwa kushinda kesi tusaidiane basi kulipa gharama mdogo wangu."

    Mnyika: "Mi najua ntashinda tu kwani sijawa kikwazo kikubwa sana kwa watawala. Mimi ni kiungo muhimu sana bungeni na pia husaidia kuwapunguza munkari wenzangu. Ila nimekusamehe dadaangu usihofu kabisa kwenye hili mi najua wewe mwenyewe unajua kuwa nilikushinda kihalali na hata leo ntakushinda pia. Ila karibu nyama choma baadae ujisikie upo CDM."

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 26, 2012

    "Baba ninakuomba uniachie hii nafasi ya ubunge. Angalau watoto wangu na wao waende kasome nje ya nchi".

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...