Wasanii wa kundi la GYT kutoka Dar es salaam wakilishambulia jukwaa wilayani Kyela mkoani Mbeya jana ikiwa ni sehemu ya kampeni ya 100% TZ Flava inayoendeshwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager kwa lengo la kuwaunganisha Watanzania nchini kote kupitia burudani mbalimbali. (Picha: Executive Solutions)
Home
Unlabelled
100% Flava wakitoa burudani Mbeya
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Michu za leo kaka. tafadhari waeleze washikaji kwamba ,nimeleta masipika 10 makubwa makubwa sana na mengine madogo ya saizi ya kati, jamani anayehitaji, email yangu hii hapa. jacobmayillah@hotmail.ca Michu natanguliza shukrani zangu kwako. Kazi njema.
ReplyDelete