Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akipokea Ripoti ya Tume ya kuzama kwa meli ya Mv
SKAGIT,kutoka Mwenyekiti wa Tume kuchunguza ajali ya meli hiyo Jaji
Abdulhakim Ameir Issa,Ikulu Mjini Zanzibar leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(kulia) akizungumza na
wajumbe wa Tume ya kuzama kwa Meli ya Mv SKAGIT,iliyoongozwa na
Mwenyekiti wa Tume hiyo Jaji Abdulhakim Ameir Issa,walipofika Ikulu
Mjini Zanzibar leo.(Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...