Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akimuapisha Dk.Juma Malik Akili, kuwa Katibu Mkuu
Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano,katika hafla iliyofanyika Ikulu
Mjini Zanzibar leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akimuapisha Nd,Ali Khalil Mirza, kuwa Katibu Mkuu
Wizara ya Ardhi,Makaazi,Maji na Nishati,katika hafla iliyofanyika
Ikulu Mjini Zanzibar leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akimuapisha Nd,Mussa Haji Ali, kuwa Mkurugenzi
Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu wa Uchumi,katika hafla
iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar,leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,(kushoto) akibadilishana mawazo na Makamo wa
Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, na Makamo wa Pili
wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi,baada ya kuwaapisha Makatibu
wakuu wa Wizara mbali mbali na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia
Rushwa Zanzibar,katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar,leo
{Picha na Ramadhan Othman,IKULU.}
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...