Ni mnuso wa Send off party iliyofanyika wilayani Mpwapwa ya Bi Edina Msumuke ya kwenda kwa Mai Hazbendi Mtarajiwa wake wake Nicolaus Machilika.Wadau hawa wanatarajiwa kumeremeta rasmi Jumamosi ya tarehe 27/10/2012, Kanisa la Anglican mjini Mpwapwa, Dodoma na kufuatia na mnuso wa nguvu katika Chuo Cha ualimu (TTC) Mpwapwa
Watarajiwa wakipata lekcha
Ni wakati wa msosi na watarajiwa na wapambe wao hapo ni tonge nyama
wamependeza wenyewe maskini..
ReplyDeletesasa mbona umeandika kwa uzuni mdau wa kwaza...masikini ya nini?
ReplyDeleteHarusi ingependeza zaidi laiti mpiga picha angekuwa mahiri. Mwanga mdogo, picha hazina fokasi ( Picha yenye focus mboni za macho huwa bayana) Nk.....
ReplyDelete