Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Angellah Kairuki akiongea jana wakati wa hafla ya kukabidhi tuzo za fedha kwa Asasi zinazotoa huduma ya msaada wa kisheria nchini, jana jijini Dar es Salaam.
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Angellah Kairuki akizindua awamu ya pili ya kuzisaidia kifedha Asasi zinazotoa huduma ya msaada wa kisheria nchini katika hafla iliyofanyika jana, jijini Dar Es Salaam.
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. angellah Kairuki akikabidhi tuzo ya fedha kwa moja ya Asasi zilizopata tuzo hizo jana jijini Dar Es Salaam. Katikati anayeshuhudia ni Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Othman Makungu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...