Mwenyekiti  wa CCM mkoa  wa Iringa Jesca Msambatavangu wa pili  kulia akitoa akiitambulisha familia ya marehemu diwani Idd Chonanga  aliyekuwa  diwani wa kata ya Nduli aliyefariki dunia  jana 


 Mtoto  mkubwa wa  marehemu  Idd  Chonanga Bw Greyson Chonanga akipewa  mkono wa pole na waziri mkuu Mizengo Pinda aliyefika  nyumbani kwao eneo la kijiji cha Nduli  kuhani msiba  huo jioni ya leo. Anayeshuhudia ni  mwenyekiti wa CCM mkoa  wa Iringa Jesca Msambatavangu 


 Viongozi  mbali mbali wa CCM na  serikali mkoa wa Iringa  wakiwa na  waziri mkuu Mizengo Pinda pamoja  na  waombolezaji  wa msiba wa aliyekuwa diwani wa kata ya Nduli Idd Chonanga aliyefariki jana.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 05, 2013

    Huyu maza chichiem lakini kapiga the gwandazzz! wera weraaaaaaaaaaa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...