Wasanii wa Muziki wanaounda kundi la Kigoma All Stars (Leka Dutigite) wakiwapagawisha Mashabiki wao waliokuwa wamefurika kwa wingi kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika,Mkoani Kigoma wakati wa Tamasha la Muendelezo la Kili Music Tour 2013 lililofanyika mwishoni mwa wiki.
Barnaba akifanya mambo yake.
Mkali wa RnB,Muite Ben Pol akionyesha kujikubali kwake wakati wa Tamasha la Kili Music Tour 2013,lililofanyika mwishoni mwa wiki ndani ya Uwanja wa Lake Tanganyika,Mkoani Kigoma.
Mkali wa Hip Hop kwa Mwaka 2012/13,Kala Jeremier akionyosha ukali wake kwa Wakazi wa Mkoa wa Kigoma wakati wa Tamasha la Kili Music Tour 2013,lililofanyika kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika Mkoani Kigoma.
Fid Q akiwapa kitu roho inapenda wakazi wa Kigoma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...