SIMU.TV: Chama Cha Wafamasia PST kimeonya kuwafungulia mashtaka watu watakaothibitika kujishughulisha na uuzaji wa dawa bandia https://youtu.be/PgHcmOo7Gx4
SIMU.TV: Wazazi na Walezi wameaswa kuhamasisha Vijana wao wajitokeze kwa wingi kupiga kura pindi uchaguzi utakaporudiwa. https://youtu.be/CV7Efhnezic
SIMU.TV: Mfuko wa kupambana na saratani ya matiti imepanga kufanya matembezi ya hisani Disemba 6 ili kuchangisha Sh. Mil.130 kwaajili ya kusaidia wanawake wanaokumbwa na ugonjwa huo;https://youtu.be/Xja6nBEVI0Q
SIMU.TV: Mchezaji Brian Majwega afunguka na kuelezea sakata lake kuwa hayupo tayari kuichezea timu ya AZAM FC hata kama TFF itaamuru achezee timu hiyo; https://youtu.be/-H6gXBzs_Is
SIMU.TV: Papa Francis amefanya misa yake ya kwanza katika Chuo kikuu cha Nairobi Kenya huku maelfu ya waumini wakihudhuria ibada hiyo. https://youtu.be/okeZ3j5HE3s
SIMU.TV: Jiunge na wadau mbalimbali wakiichambua falsafa ya Rais Magufuli ya hapa kazi tu, jinsi itakavyo likomboa taifa la Tanzania.https://youtu.be/ pFzzI0H3M3g
SIMU.TV: Baadhi ya Wakazi wa Manispaa Ya Ujiji Mkoani kigoma wamewaomba wataalamu wa Afya na Mazingira kufuatilia usafi kuepuka kipindupindu. https://youtu.be/3qSu5BS63Yc
SIMU.TV: Rais Shein amesema ushindi wa tuzo ya dhahabu ya sheria ya mtoto ya Zanzibar ni matokeo ya kazi nzuri iliyofanywa na wengi; https://youtu.be/BF3ymq2-NqM
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...