Balozi wa Israel
nchini Tanzania Bw.Yahel Vilan(kushoto) akimpongeza Waziri wa
Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe,Nape Nnauye(kulia) kwa kuchaguliwa kuwa Waziri pamoja na kumpatia zawadi ya kitabu na
kikombe kutoka Israel alipomtembelea leo jijini Dar es Salaam.
Waziri wa
Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye(kulia) akifurahia jambo na
Balozi wa Israel nchini Tanzania Bw.Yahel Vilan alipomtembelea ofisini kwake
jijini Dar es Salaam.Katika maongezo yao wamekubaliana kuimarisha ushirikiano uliokuwepo
na kuangalia sehemu zaidi za kushirikiana katika sekta za Habari na Utamaduni.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...