Mwanafunzi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam mwaka wa tatuMwakijangile Frank  akipiga shuti kali kuelekea katika goli la wanafunzi wa mwaka wa pili wakati wa Tamasha la”Back to School Bash” lililofanyika kwenye viwanja vya Mabibo Hosteli jana  lililoandaliwa na Vodacom Tanzania,Ambapo mwaka wa pili walifungwa 2-1.
 Mshambuliaji wa timu ya mwaka wa tatu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,Charles Mgao(katikati) akijaribu kuwatoka Mabeki wa timu ya  mwaka wa pili  wakati wa Tamasha la”Back to School Bash” lililofanyika kwenye viwanja vya Mabibo Hosteli jana  lililoandaliwa na Vodacom Tanzania,Ambapo mwaka wa pili walifungwa 2-1.
 Msanii wa muziki wa Kufokafoka”Hip Hop”Roma Mkatoliki, akikonga nyoyo za mashabiki wake wakati wa Tamasha la”Back to School Bash” lililofanyika hapo jana katika viwanja vya Mabibo Hosteli  jijini Dar es Salaam kwa Udhaminiwa wa Vodacom Tanzania.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...