Mkuu wa Kituo cha shule ya maadilisho kinacholea watoto waliokinzana na sheria cha Irambo Mkoa wa Mbeya,Bwire Masenena(kushoto) akipokea msaada wa vifaa vya shule Viatu,Madaftari na vifaa vya michezo,Luninga pamoja na vyakula mbalimbali kwa niaba ya watoto wa chuo hicho jana toka kwa Meneja mauzo kanda ya Nyasa wa Vodacom Tanzania, Emmanuel Sagenge.Msaada huo wenye thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 12/- uliotolewa na Vodacom Foundation kupitia taasisi ya Doris Mollel.
 Meneja mauzo kanda ya Nyasa wa Vodacom Tanzania, Emmanuel Sagenge(kushoto)akimkabidhi Luninga Mkuu wa Kituo cha shule ya maadilisho kinacholea watoto waliokinzana na sheria cha Irambo Mkoa wa Mbeya,Bwire Masenena(kulia) wakati wa hafla fupi jana ya kupokea msaada wa vifaa vya shule Viatu,Madaftari na vifaa vya michezo pamoja na vyakula kwa niaba ya watoto wa chuo hicho, Msaada huo wenye thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 12/- uliotolewa na Vodacom Foundation kupitia taasisi ya Doris Mollel.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...