Wakazi wa kata ya Kibirizi katika manispaa ya Kigoma ujiji wagoma kupokea notice ya kupisha ujenzi wa bandari kavu kwa madai ya kulipwa fedha ndogo ukilinganisha na thamani ya mali zao https://youtu.be/lsEW21hKctM
 Watu watu wafariki dunia na wengine 6 kujeruhiwa vibaya baada ya basi la kampuni ya SAIBABA kugonga uso kwa uso na lori mkoani Arusha.https://youtu.be/CFJC9j1tY8Q
 Familia moja katika maeneo ya Magomeni jijini Dar es salaam yanusurika kuteketea kwa moto baada ya nyumba yao kuungua yote na kuzua taharuki katika mtaa huo. https://youtu.be/0LhWj-lSaJY
 Serikali yaifunga shule ya sekondari ya ufindi IYUNGA ya jijini Mbeya hadi mwezi wa 4 ili kupisha ujenzi wa mabweni mawili na ukarabati wa majengo yaliyoungua moto wiki kadhaa zilizopita. https://youtu.be/c05R7gZn9NM
 Maafisa wa mamlaka ya mapato nchini TRA yawatia mbaroni Wachina 2 eneo la Tabata jijini Dar es salaam kwa tuhuma za kukwepa kodi kupitia mauzo.https://youtu.be/-9WYOu9Eb6E
 Kazi ya uopoaji wa miili 3 ya wachimbaji wa madini ya Tanzanite waliofariki dunia kwa kufukiwa na kifusi imeendelea huku miili miwili ikifanikiwa kuopolewa. https://youtu.be/Q9ZpsKzmB60
 Askari wa hifadhi ya Selous walalamikiwa kwa vitendo vya unyanyasaji vinavyofanywa na askari kwa wananchi wa Liwale mkoani Lindi.https://youtu.be/b2Xr01aHCgI
 Siku mbili baada ya wizara afya kufunga chumba cha kuhifadhia maiti katika hospitali ya Tumbi mkoani Pwani, leo hii hospitali hiyo yafungua kituo hicho baada ya ukarabati kukamilika. https://youtu.be/y2e93Bk5_88
 Waziri mkuu Kassim Majaliwa awasili mkoani Kagera kwa ziara ya siku 3 kikazi huku akitoa tahadhali kwa idara ya uhamiaji mkoani humo.https://youtu.be/8R3U5t3ZKUM
 Wafanyakazi 276 wa kampuni ya ujenzi ya CRG ya mjini Dodoma wafanya mgomo kushinikiza kulipwa malimbikizo yao yaliyodumu kwa zaidi ya miaka 3.https://youtu.be/zutWTnAeoxs
 Hatimaye huduma ya usafiri wa treni kupitia reli ya kati iliyokuwa imesimama kwa muda kufuatia mafuriko kuharibu miundombinu ya reli mkoani Morogoro, yarejea tena baada ya matengenezo kukamilika. https://youtu.be/pf_bs1unZU0
 Aliyekuwa mkuu wa Brigedia ya JWTZ Tabora Brigedia Jenerali Sukambi, awataka maafisa na askari wa jeshi hilo kulinda kiapo chao na kuunga mkono jitihada za Rais Magufuli katika kupambana na ubadhilifu.https://youtu.be/zic2E_1ZsnM
 Baadhi ya wananchi washauriwa kutumia nguvu zao binafsi kuiunga mkono serikali katika ujenzi wa miundombinu mbalimbali ili kujiletea maendeleo binafsi na taifa kwa ujumla. https://youtu.be/Foqj3YtPY1A

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...