Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana na Ajira) Mhe. Anthony Mavunde (kulia) akizungumza na Mkurugenzi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Prof. Godius Kahyarara (kushoto) mara baada ya kupitishwa kwa bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu Bungeni Dodoma tarehe 27, Aprili, 2016
 Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Watu wenye Ulemavu) Mhe Dkt. Abdallah Possi (kushoto) akizungumza na Kamshna Msaidizi Kitengo cha Wenye Ulemavu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Beatrice Fungamo mara baada ya kupitishwa kwa bajeti ya Ofisi hiyo Aprili 27, 2015 Mjini Dodoma.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama (wa saba kutoka kulia) akiwa kwenye picha ya pamoja na Watendaji wa Ofisi hiyo, kulia kwake ni Naibu Waziri (Kazi, Vijana na Ajira) Mhe. Anthony Mavunde na kushoto ni Naibu Waziri (Watu wenye Ulemavu) Mhe Dkt. Abdallah Possi katika viwanja vya Bunge Dodoma.
 
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama (Mb) akizungumza na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Bunge), Musa Uledi mara baada ya kupitishwa kwa bajeti ya Ofisi hiyo Aprili 27, 2015 Mjini Dodoma
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama (Mb) akimsikiliza Mratibu wa Taifa wa Programu ya Miundombinu ya Masoko, Uongezaji Thamani na Huduma za Kifedha Vijijini (MIVARAF) Bw.Walter Swai nje ya Ukumbi wa Bunge mara baada ya kuhairishwa kwa shughuli za Bunge Aprili 27, 2016. Picha na PMO

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...