Na
Zuena Msuya
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo amesaini
kibali
cha kuhamisha leseni ya uchimbaji wa kati
wa madini kutoka
ampuni
ya uchimbaji wa madini ya China ya Henan AfroAsia Geo-
Engeneering
( Tanzania) kwenda Kampuni ya uchimbaji wa Dhahabu
ZEM
Tanzania Limited.
Akizungumza
mara baada ya kusaini kibali hicho leo, jijini Dar es
salaam,Profesa
Muhongo amesema kampuni hiyo itaanza shughuli za
uchimbaji
mwanzoni mwa mwezi Desemba mwaka huu 2016, katika
ijiji
cha Nyasirori wilayani Butiama Mkoani Mara.
Alifafanua
kuwa kusaini kwa kibali hicho kunatoa fursa kwa kampuni
ya
china ya uchimbaji wa madini ya ZEM,ambayo iliingia
makubalianao
ya kufanya kazi na kampuni ya Henan AfroAsia
Geo-
Engeneering
( Tanzania) mwezi Desemba mwaka 2015.
Gharama
za mradi huo zinakadiriwa kufikia kiasi cha dolla za
Marekani
mlioni43.3.
Waziri
wa Nishati Profesa Sospeter Muhongo akisaini kibali cha
kuhamisha
leseni ya uchimbaji wa kati wa madini
kutoka
Kampuni
ya uchimbaji wa madini ya China ya Henan AfroAsia
Geo-
Engeneering ( Tanzania) kwenda Kampuni ya uchimbaji wa
Dhahabu
ZEM Tanzania Limited, tukio lililofanyika katika ukumbi
wa
mikutano wa Wizara ya Nishati na Madini
Kansela
wa ubalozi wa China, Gou Haodong(kushoto) akiweka saini
kitabu
cha wageni ofisi kwa Waziri wa Nishati na Madini, Waziri wa
Nishati
Profesa Sospeter Muhongo(kulia) mara baada ya kumaliza
kutano
wao.
Waziri
wa Nishati Profesa Sospeter Muhongo( wa pili kulia), Kansela
wa
ubalozi wa China, Gou Haodong(wa pili kushoto) na Maneja wa
ampuni
ya uchimbaji madini ya Henan AfroAsia Zhang Jiangbo kwa
pamoja
wakionesha kibali cha kuhamisha leseni ya uchimbaji wa
kati wa madini kutoka Kampuni ya uchimbaji wa
madini ya China
ya
Henan AfroAsia Geo- Engeneering (
Tanzania) kwenda
Kampunia
uchimbaji wa Dhahabu ZEM Tanzania
Limited,uchimbaji
wa madini hayo utafanyika katika kijiji cha
Nyasirori
Wilayani Butiama Mkoani Mara kuanzia mwezi Desemba
mwaka
2016.
Waziri
wa Nishati Profesa Sospeter Muhongo ( wa pili kulia),
Wakibadilishana
mawazo na Kansela wa ubalozi wa China, Gou
Haodong(wa
pili kushoto) katika Ofisi ya Waziri wa Nishati na
Madini
baada ya kumaliza kusaini kibali cha kuhamisha leseni
chimbaji
wa madini katika kijiji cha Nyasirori wilayani
Butiama
utakaoanza mwezi Desemba mwaka huo, Maneja wa
Kampuni
ya uchimbaji madini ya Henan AfroAsia
Zhang
Jiangbo(kulia)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...