Home
Unlabelled
Hotuba ya Rais Dkt John Pombe Magufuli katika Mkutano wa Wakandarasi, 26 mei 2016
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
The mdudu, Asante sana rais wetu mpendwa JPM tupo nyuma yako watanzania haya sasa mjipange kisawasawa Makandarasi wetu muda ndio huu wa kuikomboa Tanzania yetu jipangeni vizuri sana ili muwe mnachukua mijitenda na mpige kazi kisawasawa ok asanteni ni hayo tu kwa leo
ReplyDeleteHongera sana Rais wetu kwa kuwafunua mawazo makandarasi. Maana hawa makandarasi wengine wanataka kupiga deal moja tu wawe matajiri.
ReplyDeleteMjitahidi kufanya kazi kwa uhakika na ufanisi mkubwa kwa faida kiasi; ili muweze kupata kazi nyingi na kuajiri wananchi wengi. Faida kiasi kwa kazi nyingi si sawa na faida kubwa kwa kazi moja tu kwa maisha yako yote.