. Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe.
Mohamed Chande Othman akisalimiana na Mhe. Jaji Lameck Mlacha alipowasili
Mwanza tayari kwa kuanza ziara ya kukagua shughuli za Mahakama katika
kanda ya Mwanza.
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe.
Mohamed Chande Othman akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili katika
uwanja wa ndege wa Mwanza.
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe.
Mohamed Chande Othman akizungumza na Jaji Mfawidhi wa Mwanza Mhe. Robert
Makaramba alipowasili jijini Mwanza tayari kuanza ukaguzi wa shughuli za
Mahakama katika Kanda ya Mwanza.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...