Baadhi ya Wajumbe wa Mkutano wa kujadili na kuboresha rasimu ya Kiswahili ya mpango wa Halmashauri wa Kujiandaa na Kukabiliana na Maafa wakifuatilia mada ya Menejimenti ya Maafa kutoka kwa Mratibu wa Maafa wa Ofisi ya Waziri Mkuu Bw.John Kiriwai uliofanyika Ukumbi wa Empire mkoani Shinyanga tarehe 26 Mei, 2016.
 Mkurugenzi wa Utafiti na Mipango Idara ya Uratibu wa Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Bi. Naima Mrisho akiwailisha mada ya kukabiliana na maafa wakati wa mkutano wa kujadili na kuboresha rasimu ya Kiswahili ya mpango wa Halmashauri wa Kujiandaa na Kukabiliana na Maafa katika Ukumbi wa Empire mkoani Shinyanga tarehe 26 Mei, 2016.
 Baadhi ya wajumbe wa mkutano wa kujadili na kuboresha rasimu ya Kiswahili ya mpango wa Halmashauri wa Kujiandaa na Kukabiliana na Maafa wakifuatilia Majukumu ya Kamati za Maafa wakati wa mkutano huo katika Ukumbi wa Empire mkoani Shinyanga tarehe 26 Mei, 2016.
 Baadhi ya wajumbe wa mkutano wa kujadili na kuboresha rasimu ya Kiswahili ya mpango wa Halmashauri wa Kujiandaa na Kukabiliana na Maafa wakifuatilia Majukumu ya Kamati za Maafa wakati wa mkutano huo katika Ukumbi wa Empire mkoani Shinyanga tarehe 26 Mei, 2016.
Mkurugenzi wa Utafiti na Mipango Idara ya Uratibu wa Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Bi. Naima Mrisho (wa pili kulia walio kaa) akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa mkutano wa kujadili na kuboresha rasimu ya Kiswahili ya mpango wa Halmashauri wa Kujiandaa na Kukabiliana na Maafa mara baada ya ufunguzi wa mkutano huo Mkoani Shinyanga tarehe 26 Mei, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...