Wajumbe wa Mkutano wa Majaji Wanawake Duniani kutoka
Mahakama ya Tanzania wakiwa katika ufunguzi wa mkutano huo
Washington DC Marekani. Mkutano huo unawakutanisha Majaji na
Mahakimu kutoka nchi 92 Duniani kuwezesha kujadili pamoja na
mambo mengine wajibu wao katika kuhakikisha kuwa wanatenda
haki wanapotekeleza majukumu yao. Ujumbe wa Tanzania una jumla
ya wawakilishi 53.
Ujumbe wa Mahakama ukionekana kwa mbali ukiwa katika ufunguzi
rasmi wa Mkutano huo wa Wahe. Majaji Wanawake duniani.
Baadhi ya Majaji, Mahakimu na Viongozi wawakilishi wa Mahakama
ya Tanzania katika picha ya pamoja nchini Marekani.
Baadhi ya Wajumbe kutoka Mahakama ya Tanzania wakiwa katika
picha ya pamoja na Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Wilson
Masilingi pindi walipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini humo,
Balozi Masilingi amefurahishwa na ugeni huo nao ujumbe wa
Mahakama umesifu mapokezi mazuri yaliyotolewa na ubalozi huo
toka walipofika.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...