Sehemu ya Watendaji wakuu wa Kampuni ya MultiChoiche Tanzania
wakiongozwa na Mtendaji Mkuu wao, Francis Senguji (wa pili kushoto)
wakiwa katika tafrija ya kuadhimisha siku ya Afrika, iliyofanyika kwenye
Ukumbi wa Hoteli ya New Afrika, Jijini Dar es salaam.
Meneja
Masoko wa Kampuni ya MultiChoiche Tanzania, Furaha Samalu akizungumza
machache katika tafrija hiyo ya kuadhimisha siku ya Afrika, iliyofanyika
kwenye Ukumbi wa Hoteli ya New Afrika, Jijini Dar es salaam.
Mtendaji
Mkuu wa Kampuni ya MultiChoiche Tanzania, Francis Senguji akizungumza
machache katika tafrija hiyo ya kuadhimisha siku ya Afrika,
iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Hoteli ya New Afrika, Jijini Dar es
salaam. Kushoto ni Meneja Masoko wa Kampuni hiyo, Furaha Samalu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...