MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva na Balozi wa Red-Gold hapa nchini, Abdul Nasibu (Diamond Platnum), Amewakabidhi zawadi za washindi wa shindano shinda Mamilioni na la Red-Gold la wiki jijini Dar es Salaam leo.
Shindano hilo la 'Shinda milioni na Red Gold' lenye kauli mbiu ya Ladha na Mtonyo lililoanza kushindaniwa wiki iliyopita na kupata washindi wawili wa milioni 1 na wawili wa laki 5 na wengine laki moja.
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni M/S Darsh Industries Limited inayotoa bidhaa za Red Gold, Badrish Pandit akizungumza katika hafla fupi ya kuwakabidhi zawadi washindi wa shindano la 'Shinda milioni na Red Gold' lililokuwa kikishindanishwa kwa kutumia bidhaa za Red Gold jijini Dar es Salaam.
Mwanamuziki wa Bongo Fleva na Balozi wa Red-Gold hapa nchini, Abdul Nasibu (Diamond Platnum) akiwakabidhi washindi wa shindano la 'Shinda Milioni na Red Gold' jijini Dar es Salaam leo.
Mwanamuziki wa Bongo Fleva na Balozi wa Red-Gold hapa nchini, Abdul Nasibu (Diamond Platnum), Viongozi wa Kampuni M/S Darsh Industries Limited wakiwa katika picha ya pamoja jijini Dar es Salaam leo.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...