Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akisalimiana na Naibu Waziri wa Ulinzi wa Zambia, Christopher Mulenga baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Keneth Kaundauliopo Lusaka  Mei 23, may 2016 ambako kesho atamwakilisha Rais John Magufuli kwenye mkutano wa  Benki ya Maendeleo ya Afrika AfDB.
Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akisalimiana na baadhi ya Watanzania bada ya kuwasili kwenye hoteli ya Intercontinental iliyopo Lusaka baada ya kuwsili  Mei 23, 2016 ambako kesho atamwakilisha rais John Magufuli kwenye mkutano wa Benki ya Maendeleo ya Afrika AfDB. Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...