Baadhi ya waombolezaji, wakishiriki ibada ya Mazishi ya Sheikh Khamis Bin Said Khalfan katika Makaburi ya Kisutu, jijini Dar es Salaam.
Marehemu Sheikh Hamis Bin Said Khalfan  enzi za uhai wake.
Mbunge wa Jimbo la Mkuranga, Abdallah Ulega akimfariji mmoja wa wanafamilia ya Marehemu, Bw. Aboud Hussein mara baada ya mazishi katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam.
Waombolezaji wakiwa kwenye mazishi ya Sheikh Hamis Bin Said Khalfan jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...