Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Tabora (CHADEMA), Hawa Subira Mwaifunga (katikati) akiambatana na ujumbe wake wakati wakielekea kwenye Uwanja wa Chipukizi, kulikofanyika hafla fupi ya kukabidhi vifaa vya Michezo kwa vijana wa Kata nne za Manispaa ya Tabora, iliyofanyika leo Julai 26, 2016. Kata hizo ni Ndevelya, Ifucha, Isevya na Mtendeni.
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Tabora (CHADEMA), Hawa Subira Mwaifunga akimkabidhi mlezi wa Timu Kata ya Ifucha, Moses Singo,wakati wa hafla fupi ya kukabidhi vifaa vya Michezo kwa vijana wa Kata nne za Manispaa ya Tabora, iliyofanyika leo Julai 26, 2016.
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Tabora (CHADEMA), Hawa Subira Mwaifunga akimkabidhi vifaa vya Michezo Mwenyekiti wa Bawacha kata ya Ndevelwa, Mariam Ramadha, kwa ajili ya Vijana wa Kata yake.
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Tabora (CHADEMA), Hawa Subira Mwaifunga akionyesha uwezo wake wa kusakata kabumbu mbele ya vijana wa Kata nne za Manispaa ya Tabora mara baada ya kuwakabidhi vifaa mbali mbali vya Michezo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...