Mbunge
wa Viti Maalum Mkoa wa Tabora (CHADEMA), Hawa Subira Mwaifunga
(katikati) akiambatana na ujumbe wake wakati wakielekea kwenye Uwanja wa
Chipukizi, kulikofanyika hafla fupi ya kukabidhi vifaa vya Michezo kwa
vijana wa Kata nne za Manispaa ya Tabora, iliyofanyika leo Julai 26,
2016. Kata hizo ni Ndevelya, Ifucha, Isevya na Mtendeni.
Mbunge
wa Viti Maalum Mkoa wa Tabora (CHADEMA), Hawa Subira Mwaifunga
akimkabidhi mlezi wa Timu Kata ya Ifucha, Moses Singo,wakati wa hafla
fupi ya kukabidhi vifaa vya Michezo kwa vijana wa Kata nne za Manispaa
ya Tabora, iliyofanyika leo Julai 26, 2016.
Mbunge
wa Viti Maalum Mkoa wa Tabora (CHADEMA), Hawa Subira Mwaifunga
akimkabidhi vifaa vya Michezo Mwenyekiti wa Bawacha kata ya Ndevelwa,
Mariam Ramadha, kwa ajili ya Vijana wa Kata yake.
Mbunge
wa Viti Maalum Mkoa wa Tabora (CHADEMA), Hawa Subira Mwaifunga
akionyesha uwezo wake wa kusakata kabumbu mbele ya vijana wa Kata nne za
Manispaa ya Tabora mara baada ya kuwakabidhi vifaa mbali mbali vya
Michezo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...