Mwanafunzi Sara Sulle wa kidato cha nne shule ya Sekondari Malama Mkoani Mbeya amelazwa katika hospitali teule ya Ifisi Mbalizi kwa siku tano baada ya kupigwa na walimu wanne kwa kosa la kukutwa katika mtandao wa Facebook.
Baadhi ya Majeraha aliyoyapata maeneo ya miguu.
Majeraha aliyoyapata mkononi.
Hawa nao wakamatwe wafunge kama Kofi Olomide. Huu ni unyanyasaji wa wanafunzi.
ReplyDeletesasa hivyo vipigo vina tofauti gani na vile vya Koffi Olomide? miezi 18 inawahusu na wao
ReplyDeleteKama hakujiweka vibaya facebook, hivi hawa waliompiga wanaishi karne ya ngapi, hivi wanajua mitandao ipo.
ReplyDelete