Mkuu wa usalama barabarani kanda maalum ya Dar es Salaam,(ZTO) ACP Awadhi Haji, akitoa elimu kwa madereva wa bodaboda waliopo Kituo cha Daladala cha Tegeta mapema leo hii,akiwataka wafuate sheria za usalama barabarani ikiwemo kuvaa kofia ngumu pamoja na abiria wao, kwani wasipovaa Kofia ngumu watachukuliwa hatua Kali zakisheria ikiwemo kupelekwa mahakamani,vilevile akiwataka kutojihusisha  na vitendo vya kiarifu wakiwa na pikipiki zao, pia akiwataka madereva hao wawe wasafi pindi watoapo huduma kwa wananchi.
Baadhi ya waendesha pikipiki maarufu kama waendesha bodaboda wakinyoosha mikono kumuuliza swali Mkuu wa usalama barabarani kanda maalum ya Dar es Salaam,(ZTO) ACP Awadhi Haji leo katika kituo cha daladala cha Tegeta jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...